UWT KATA YA KILIMANI YAPATA UONGOZI MPYA
Na Barnabas Kisengi Dodoma Chama cha Mapinduzi kata ya KILIMANI Jijini Dodoma kimekamilisha kufanya uchaguzi wa jumuiya ya wanawake UWT kata ya KILIMANI na kuwapata viongozi wa kata hiyo baada ya uchaguzi huo kuhairishwa mara kwa mara. Uchaguzi huo wa jumuiya ya wanawake UWT kata ya KILIMANI umekamilika kwa kumpata Mwenyekiti na katibu wa UWT
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed